Watu 74 wabainika kuwa na virusi vya Corona nchini Uganda baada ya kuongezeka maambukizi mapya 11, ambapo kati ya watu hao 11 Watanzania wapo 6, watano wanatoka nchini Kenya.
Wizara ya Afya nchini Uganda imesema kati ya wagonjwa 74 wa Corona 46 wamepona na kuruhusiwa.
11 new COVID-19 cases confirmed today
6 Tanzanian truck drivers who arrived via Mutukula Border post
5 Kenyan truck drivers; 3 arrived via Malaba and 2 arrived via Busia
Total Confirmed Cases of COVID-19 in Uganda is now 74
Total COVID-19 recoveries in Uganda: 46
2,119 people are talking about this