SERIKALI ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji katika kuongeza thamani ya mnyororo wa bidhaa za kilimo, ufugaji na uvuvi na kusema mazingira ya uwekezaji ni rafiki. Akizungumza katika kuitangaza Tanzania na vivutio vyake katika Jukwaa la kilimo biashara lililoandaliwa na taasisi ya Jukwaa la Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika (AGRF), na kufanyika …
Read More »Tag Archives: Uwekezaji
Waziri Kairuki Aridhishwa Na Uwekezaji Wa Kiwanda Cha Mafuta Ya Alizeti Cha Magid – Kondoa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji nchini Mhe. Angellah Kairuki ameeleza kuridhishwa na hatua za uwekezaji wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha MAGIN kilichopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kwa kuwa na mitambo yenye ubora na chenye nia ya kuzalisha mafuta kwa tija nchini. Ameeleza …
Read More »