Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Eblate Ernest Mjingo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (TAWIRI). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Mjingo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba ya Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI, na anachukua nafasi iliyoachwa …
Read More »Tag Archives: Uteuzi
Uteuzi Mpya Uliofanywa na Rais Magufuli Leo May 08
Uteuzi Mpya Uliofanywa na Rais Magufuli Leo
Uteuzi Mpya Uliofanywa na Rais Magufuli Leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Buruhani Salum Nyenzi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA). Dkt. Nyenzi (Tanzania Bara) anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili. Wakati huo huo, Rais Magufuli amemteua Dkt. Makame Omar Makame kuwa Makamu …
Read More »Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Mussa Daniel Budeba kuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (Geological Survey of Tanzania – GST). Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. Budeba umeanza …
Read More »