Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna uzembe umefanyika Maabara na kupelekea Watu kuambiwa wana corona wakati hawana “tuna maambukizi 679 ya corona hadi sasa Uganda ila kati ya hawa Watu baadhi yao wameambiwa wana corona baada ya vipimo vya Maabara pale Makerere wakati hawana, Maabara imekosa umakini, inaonekana kuna …
Read More »Tag Archives: uganda
Watanzania wengine wanne wakutwa na virusi vya corona Uganda
Wizara ya Afya Uganda imesema Watanzania wengine wanne (Madereva wa Malori) wamebainika kuwa na virusi vya corona nchini humo na kufanya visa vya corona Uganda kufikia 79, Madereva hao walioingia Uganda kupitia mpaka wa Mutukula ni kati ya ya Watu 1989 waliopimwa jana Uganda. “Tumewapima Watu 1989 ambapo Madereva wa …
Read More »Wenye Virusi Vya Corona Uganda Wafika 74….Ni Baada ya Madereva 06 wa Tanzania na Wengine 05 wa Kenya Kukutwa na Virusi Hivyo
Watu 74 wabainika kuwa na virusi vya Corona nchini Uganda baada ya kuongezeka maambukizi mapya 11, ambapo kati ya watu hao 11 Watanzania wapo 6, watano wanatoka nchini Kenya. Wizara ya Afya nchini Uganda imesema kati ya wagonjwa 74 wa Corona 46 wamepona na kuruhusiwa. Ministry of Health- Uganda ✔@MinofHealthUG …
Read More »Uganda Yawataka Raia 22 wa kigeni wanaotoka kwenye Nchi zenye maambukizi makubwa ya Corona Warudi Kwao
Wizara ya afya nchini Uganda imesema raia wa kigeni 22 waliokuwa wamewasili nchini humo kutoka katika mataifa yaliyoathiriwa na maambukizi ya Corona na kuombwa kutengwa kwa siku 14 watarudishwa katika nchi zao baada ya kukataa utaratibu huo wa serikali. Wageni hao walikuwa wamewasili nchini humo kuhudhuria mkutano wa kibiashara kati …
Read More »Uganda: Sheikh ‘aliyemuoa’ mwanamume akidhani ni mwanamke asimamishwa kazi
Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na hastahili kuendelea na kazi yake Sheikh Mohammed Mutumba anadai kuwa alipata mshtuko wiki mbili baada ya kugundua kuwa mke aliyemuoa …
Read More »Uganda: Bob Wine Akamatwa Tena
Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda, Robert Kyagulani, maarufu Bobi Wine, leo Januari 6, 2020, Jeshi la Polisi nchini humo limemkamata na kisha kurusha mabomu ya machozi kwa lengo la kuzuia mkutano wake, uliokuwa umepangwa kufanyika eneo la Gayaza, Kyadondo Mashariki Bobi Wine alikamatwa pamoja na wabunge wengine Asuman Basalirwa, Latif …
Read More »