Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera ametoa wito kwa watoa huduma za habari mitandaoni (online media), kuwasisitiza na kuwahimiza wadau na wananchi kwa ujumla kuzingatia Sheria za Uchaguzi, Kanuni na Maelekezo ya Tume katika kipindi hiki ambapo Taifa liko katika kampeni za uchaguzi kuelekea katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na …
Read More »Tag Archives: uchaguzi
Nchi 15 Zaruhusiwa Kuleta Waangalizi Wa Uchaguzi Mkuu 2020
Nchi 15 kupitia Balozi zao hapa nchini zimeruhusiwa kuleta waangalizi wa Kimataifa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba, 2020 baada ya Balozi hizo kuwasilisha maombi na kufuata taratibu. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam …
Read More »KUTOPIGA KURA NI SAWA NA KURUHUSU USHINDI KWA VIONGOZI WASIOKUWA NA SIFA
MAKALA Na Salvatory Ntandu Uchaguzi wa serikali za Mitaa nchini Tanzania hufanyika kila baada ya miaka minne ambapo wananchi katika eneo lote la Tanzania bara na visiwani hutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa viongozi katika mitaa,vijiji,sheia na vitongoji mbalimbali hapa nchini. Msomaji Makala hii inajikita zaidi …
Read More »Mikoa mitatu kutopiga kura serikali za mitaa
Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema mikoa mitatu haitafanya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwa wagombea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepita bila kupingwa. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mwita Waitara amesema jana jijini Dar es Salaam kuwa, kati ya …
Read More »Juma Duni ahofia mazingira uchaguzi mkuu ujao Zanzibar
Unguja. Naibu kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar Juma Duni Haji amesema ikiwa imesalia mwaka mmoja kufika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 chama hicho kinaona kuna kila aina ua ugumu kwenye uchaguzi huo kutokana na mazingira yaliowekwa. Duni ameyasema hayo leo Jumapili Novemba 17, 2019 wakati akizungumza na waandishi wa …
Read More »Waziri Mkuu Aonya Watakaovuruga Uchaguzi Serikali Za Mitaa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuanzia tarehe 17 – 23 Novemba, 2019 litaanza zoezi la kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, hivyo ametoa onyo kwa yeyote atakayevuruga zoezi hilo kuwa atachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. “Vikundi vya ulinzi wa jadi au vya ulinzi binafsi au vya mashabiki wa …
Read More »Tangazo La Kuwarejesha Wagombea Wasio Na Makosa Ya Kikanuni Kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa 2019
Zoezi la Uchukuaji fomu, Urudishaji fomu, Uteuzi, Pingamizi na Rufaa lilianza tarehe 29/10/2019 na kumalizika tarehe 9/11/2019. Katika zoezi hilo jumla ya wananchi 555,036 kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa walifanikiwa kuchukua fomu za kugombea. Na jumla ya wananchi 539,993 sawa na asilimia 97.3 walifanikiwa kurejesha fomu. Wagombea kutoka Chama cha …
Read More »CHAUMA Nao Watangaza Kutoshiriki Uchaguzi Serikali Za Mitaa
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) nacho kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019. Kimetangaza uamuzi huo siku mbili baada ya Chadema na ACT-Wazalendo navyo kutangaza kutoshiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa chama hicho, Hashim Rungwe ametangaza uamuzi huo leo Jumamosi Novemba 9, 2019 akibainisha kuwa wagombea …
Read More »Baada ya Vyama Vya Upinzani Kujitoa, Serikali Yasema Uchaguzi Serikali za Mitaa Uko PalePale
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko pale pale na utafanyika Novemba 24, 2019 kama ilivyopangwa licha ya vyama vingine kujitoa kwenye Uchaguzi huo. Jafo ameyasema hayo mapema leo alipokuwa akizungumza na vyombo vya …
Read More »Jafo: Kamati za Rufaa Tendeni Haki kwa Wagombea
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amezitaka Kamati ya Rufaa za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutenda haki wa wagombea wote watakaowasilisha malalamiko yao kuhusu uteuzi. Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akizungumza na Kamati ya Rufaa pamoja na viongozi wa …
Read More »