Wagombea wakuu wa urais nchini Marekani, Donald Trump wa Republican na Joe Biden wa Democratic, wamejitokeza katika vituo viwili tafauti vya televisheni, kila mmoja akimtuhumu mwenzake, juu ya namna anavyouchukulia ugonjwa wa COVID-19. Akihojiwa na kituo cha televisheni cha NBC mjini Miami, Trump alikataa kusema waziwazi, endapo wakati wa mdahalo …
Read More »Tag Archives: Trump
Trump atoka hospitali, arejea Ikulu ya Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kutoka kwenye hospitali ya kijeshi ya Walter Reed alikokuwa amelazwa kwa siku tatu akitibiwa ugonjwa wa COVID-19. Baada ya kuwasili kwenye Ikulu ya Marekani, White House, Trump alivua barakoa yake kwa ajili ya kupiga picha na aliendelea kutembea bila barakoa wakati wafanyakazi wa ikulu …
Read More »Trump aapa kujibu shambulio la Iran mara 1,000 zaidi
Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kwamba shambulio lolote litakalofanywa na Iran litajibiwa mara 1,000 kwa ukubwa, baada ya ripoti kuwa Iran inapanga kulipiza kisasi baada ya kuuliwa jenerali wa ngazi ya juu Qasem Soleimani. Ripoti ya vyombo vya habari nchini Marekani, zimenukuu maafisa ambao hawakutajwa majina, wakisema kuwa mpango …
Read More »Powell: Trump ni muongo nitampigia kura Biden katika uchaguzi wa Novemba
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Kigeni wa Marekani Colin Powell amekuwa Mrepublican wa kwanza mashuhuri kutangaza wazi kumuunga mkono mgombea wa chama cha Democratic Joe Biden katika uchaguzi wa rais Novemba mwaka huu. Powell ameiambia televisheni ya CNN kuwa Rais Donald Trump amejitenga na katiba ya Marekani na …
Read More »Trump ashtakiwa kuhusiana na mashambulizi ya polisi dhidi ya waandamanaji
Makundi ya kutetea haki za binadamu nchini Marekani yamewasilisha kesi dhidi ya rais Donald Trump baada ya vikosi vya usalama kuwarushia mabomu ya moshi waandamanaji waliokuwa wakiandamana kwa amani nje ya Ikulu ya White House. Umoja wa Uhuru wa Raia wa Marekani, ACLU pamoja na makundi mengine, yalimshtumu rais huyo …
Read More »Kituo cha CDT chafungua mashtaka dhidi ya Trump
Kituo cha Demokrasia na Teknolojia (CDT) kimewasilisha mashtaka dhidi ya amri ya Rais Donald Trump ya Kuzuia Udhibiti wa Maudhui Mtandaoni iliyosainiwa Mei 28, 2020 CDT inadai amri hiyo inakiuka Marekebisho ya Kwanza kwa kupunguza ubora wa taarifa za Taasisi na watu binafsi ziilizopo katika mitandao ya kijamii ambazo hulindwa …
Read More »Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis Amtuhumu Trump Kwa Kutaka Kuwagawa Wamarekani Kwa Matabaka
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis ametangaza kuwaunga mkono wananchi wa Marekani wanaondamana kulaani ubaguzi wa rangi na mienendo ya polisi ya Marekani hususan dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika. Mattis alitangaza msimamo huo katika taarifa iliyochapishwa jana Jumatano na gazeti la The Atlantic, ambapo amemtuhumu Trump …
Read More »Trump: Iran Wakithubutu Kulipa Kisasi Tutashambulia Maeneo Yao 52 Ndani ya Dakika Chache
Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kuwa nchi yake itayashambulia haraka na vikali maeneo 52 ya Iran iwapo Jamhuri hiyo ya Kiislam itafanya mashambulizi dhidi ya raia wa Marekani na mali zake kulipiza kisasi kwa mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani. Katika ujumbe wa kitisho kupitia ukurasa wa Twitter, Trump amesema …
Read More »Trump apandwa na hasira Baada Ya Waandamanaji Kuuvamia ubalozi wa Marekani nchini Iraq na Kutaka Kuuchoma Moto
Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha kuchukizwa na maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa nchi hiyo huko Baghdad, mji mkuu wa Iraq lakini hata hivyo akaishia kusema anaamini Iraq itatumia vikosi vyake vya usalama kuulinda ubaloz huo wa Marekani Kauli hiyo ameitoa wakati ambapo anailaumu Iran kwa kuchochea vurugu hizo …
Read More »Marekani Yazindua Rasmi Jeshi lake Jipya la Anga za Juu
Rais Donald Trump amesaini pesa za kuwezesha mradi mpya wa Pentagon, jambo ambalo linarasimisha kuanzishwa kwa kikosi cha vita vya anga za juu- kifahamikacho kama US Space Force. Kikosi hicho kipya katika jeshi la Marekani, ni kikosi cha kwanza katika huduma za jeshi la Marekani kwa miaka 70, na kiko …
Read More »