TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, inamshikilia mmiliki wa mashamba makubwa Thomas Meliyo kwa kutotimiza wajibu wa kuwalipa stahiki watumishi wa mashamba yake. Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu ameyasema hayo mjini Babati wakati akizungumza na waandishi wa habari. Makungu amesema Meliyo …
Read More »Tag Archives: Takukuru
TAKUKURU Manyara warejesha Milioni 9.8 zilizokuwa mikononi mwa Wazabuni wazembe.
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imefanikiwa kuokoa shilingi milioni 9.8 za Halmashauri ya Wilaya hiyo zilizokuwa mikononi mwa wazabuni wasiotimiza wajibu wao. Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Babati. Makungu amesema fedha …
Read More »TAKUKURU Manyara yampiga miaka saba jela Mhasibu wa Halmashauri,wengine wapewa onyo kali.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Arusha imemhukumu kifungo cha miaka 7 gerezeni aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya wilaya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter John Mollel kwa makosa ya wizi akiwa mtumishi wa umma. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Mei 8, 2020, kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Manyara,Holle …
Read More »TAKUKURU Dodoma Yamkamata Mwanaume Mmoja Kwa Kujiita Afisa Wa Takukuru Chamwino Ikulu Huku Ikiokoa Milioni 194 Kutoka Kwa Wanachama Wa Saccos.
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa [TAKUKURU] Mkoa wa Dodoma inamshikilia Bw.Simon Mapunda Jumbe[43]mkazi wa Kisasa jijini Dodoma anayejishughulisha na kazi za ufundi ujenzi ,kwa kosa la kujifanya afisa wa TAKUKURU kinyume na kifungu cha 36 cha sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa Sura ya 329 marejeo ya …
Read More »Mambo bado magumu kwa Lugola, achunguzwa na TAKUKURU
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola yupo chini ya ulinzi unaomfanya asiweze kusafiri sehemu yoyote bila Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa na taarifa. Lugola aliondolewa Uwaziri baada ya kuhusishwa na kashfa ya Mkataba wa Tsh. Trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vya …
Read More »TAKUKURU wampa siku 10 mkandarasi kukamilisha mradi
Mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma, Sosthenes Kibwengo, amemuagiza Mkandarasi wa Kampuni ya JUAN, inayotekeleza mradi wa Maji wa Kelema Kuu, katika Kijiji Cha Kelema Balai Wilayani Chemba, Mkoa wa Dodoma, kuhakikisha ndani ya siku kumi mradi huo uwe umekamilika. Mradi wa Maji wa …
Read More »TAKUKURU Geita yawakamata viongozi wa AMCOS waliotafuna fedha za wakulima.
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoani wa Geita imefanikiwa kurejesha shilingi milioni 23 kati ya 49 zilizokuwa zimeibwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya Ushiriaka (AMCOS) 8 katika wilaya Mbogwe. Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita, Leonidas Felix katika hafla maalumu …
Read More »TAKUKURU Mkoa Wa Dodoma Yawakamata Viongozi Watatu Chama Cha Ushirika Matumaini Saccos .
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa [TAKUKURU]mkoa wa Dodoma inawashikilia watu watatu waliokuwa viongozi wa chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo cha Matumaini[Matumaini SACCOS] Kilichopo kata ya Msanga Wilaya ya Chamwino kwa kosa la matumizi mabaya ya Mamlaka kinyume na kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na …
Read More »TAKUKURU yaonya vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi serikali za Mitaa
Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za Mitaa utakaofanyika jumapili hii novemba 24, Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU, Mkoani Dodoma imewanya watu kutojihusisha na vitendo vya Rushwa kwani taasisi hiyo imejipanga kikamilifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake Mkuu wa taasisi ya TAKUKURU, Mkoa wa Dodoma …
Read More »TAKUKURU yakabidhiwa jalada la kufanyia uchunguzi upotevu wa fedha katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeikabidhi TAKUKURU jalada la kulifanyia uchunguzi upotevu wa fedha katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Mnyepe amekabidhi jalada hilo kwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, …
Read More »