WAKATI Mkoa wa Shinyanga ukizindua mpango mkakati wa kipekee wa miaka mitano (2020-2025) wa kutokomeza vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake, ukiwa ni mkoa wa kwanza nchini kuja na mpango huo, vitendo hivyo vimeendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Ambapo Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linawashikilia vijana …
Read More »Tag Archives: shinyanga
SHINYANGA:Wanne Mbaroni Kwa Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Tano
Wakazi wanne wa Kijiji cha Isela Kata ya Samuye Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Tuhuma ya Kumwozesha Mwanafunzi wa Darasa la Tano mwenye Umri wa miaka 12 (Jina limehifadhiwa) kwa mahari ya ng’ombe 8 pamoja na shilingi laki 6. Akizungumza na Waandishi wa Habari …
Read More »SHINYANGA: Lori la mafuta lagonga mti na kujeruhi wawili.
Watu wawili wamejeruhiwa baada ya Lori la mafuta gari lenye namba za usajili T674 BAA aina Tanker lenye tela lenye namba za usajili T260 BLA kugonga mti na kupinduka katika eneo la Ugweto kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga barabara kuu ya kutoka Shinyanga kwenda Mwanza. Akizungumza na Waandishi wa …
Read More »Serikali Mkoani Shinyanga yaja na mkakati wa kukomesha fisi.
KUTOKANA na kukithiri kwa matukio ya Fisi kushambulia wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga hususan watoto wadogo, serikali imeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kufuatilia na kuwasaka fisi hao ambao katika siku za hivi karibuni wamekuwa wakiwasumbua wakazi wa manispaa hiyo. Kwa takribani miezi sita sasa, kumekuwepo na matukio …
Read More »Kampuni ya Vinywaji Vikali ya East African Spirits (T) Ltd yatoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Corona katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Kampuni ya Uzalishaji Vinywaji Vikali ya East African Spirits (T) Limited Shinyanga inayotengeneza vinywaji vya Diamond Rock na Hansons Choice imekabidhi msaada wa kifaa cha kisasa cha kunawia mikono bila kugusa koki na vifaa vya kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona vyenye thamani vya shilingi Milioni 8 katika hospitali …
Read More »RC Shinyanga asema 2020 Serikali itaingia mikataba na waratibu elimu kata ili kukuza ufaulu.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amesema mwaka huu 2020 ataingia mkataba wa kazi na Waratibu wa Elimu kata ili kuweka mikakati ya kuhakikisha ufaulu mzuri katika mitihani ya Taifa ya darasa la saba na kidato cha nne. Akizungumza katika kikao cha pamoja na Watendaji wa kata, Waratibu …
Read More »Wawili wafariki 50 wamejeruhiwa katika ajari ya basi Shinyanga
Watu wawili ambao ni abiria wanadhaniwa kupoteza Maisha huku wengine zaidi ya 50 wakijeruhiwa katika ajali ya basi kampuni ya Bright Line lenye namba za za usajili T 437 DFJ lililokuwa kikitokea jijini mwanza kwenda Jijini Dodoma. Ajali hiyo imetokea jana majira ya saa tatu asubuhi Katika eneo la Isela …
Read More »Rais Magufuli ampongeza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa kuchapa kazi Vizuri.
Rais Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga (RC), Zainabu Telack kwa kumwakilisha vyema kwa kusimamia kikamilifu nafasi yake na kupambana na rushwa. Akizungumza na wananchi eneo la Isaka Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga leo Jumatano Novemba 27, 2019, Rais Magufuli amemtaka mkuu huyo wa mkoa kuchapa kazi na kuendelea …
Read More »Wadada Wanaouza miili yao Machimboni Shinyanga wapewa semina.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga,Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) akiongozana na madiwani 11 wanawake wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wamekutana na wanawake na mabinti wanaoishi katika kata ya Mwakitolyo ili kuzungumza nao namna ya kukomesha vitendo vya baadhi ya mabinti wenye umri kuanzia miaka 12 na wanawake …
Read More »