Ajali ya Moto imetokea jana katika mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwenye mtambo wa kuchenjulia dhahabu na Kusababisha uharibifu wa vifaa mbalimbali vilivyokuwa katika eneo hilo. Kamanda wa Jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Kahama Inspekta DUMA MOHAMED akizungumza na waandishi wa habari amesema ajali hiyo …
Read More »Tag Archives: moto
Ofisi nyingine ya Kata yachomwa moto Morogoro.
Ofisi ya Mtendaji wa kata ya Mlali wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro imechomwa moto usiku wa kuamkia leo na kuteketeza baadhi ya nyaraka za ofisi hiyo. Kufuatia tukio hilo mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare ameagiza vyombo vya ulinzi na usalama mkoa wa Morogoro kuwatafuta na kuwakamata waliohusika …
Read More »