Mamia ya waombolezaji wameshiriki katika ibada ya kumkumbuka George Floyd, Mmarekani mwenye asili ya Afrika aliyekufa mikononi mwa polisi wiki iliyopita katika jimbo la Minnesota. Kiongozi wa kutetea haki za binadamu Al Sharpton ameapa kuwa maandaano makubwa yataendelea hadi watakapobadilisha mfumo mzima wa haki nchini humo. Maandamano hayo, mengi yakiwa …
Read More »Tag Archives: marekani
Trump Aendelea Kuishambulia China Kuhusu Virusi Vya Cona……Waliofariki Kwa Virusi Hivyo Marekani Wafika 74,809
Kwa mara nyingine rais wa Marekani Donald Trump ameishambulia China kwa jinsi ilivyoshughulikia mlipuko wa virusi vya corona huku akisema janga hilo limekuwa na madhara makubwa kwa Marekani. Rais Trump amewaambia waandishi habari mjini Washington kuwa ugonjwa wa COVID-19 umeiathrii Marekani kwa kiwango kikubwa kuliko mashambulizi ya mabomu dhidi ya …
Read More »Marekani yapitisha mswada wa kichocheo cha uchumi
Baraza la Wawakilishi nchini Marekani limepitisha mswada mpya wa kichocheo cha uchumi wa dola bilioni 483 wakati kiwango cha ukosefu wa ajira kutokana virusi vya corona kikipanda na makampuni yakihitaji msaada zaidi. Mswada huo tayari ulikuwa umeidhinishwa na Baraza la Seneti, na Rais Donald Trump ameashiria kwamba atausaini haraka iwezekanavyo …
Read More »Mustafa Kassem: amekufa baada ya kufanya mgomo wa kula nchini Misri
Kassem mwenye umri wa miaka 54 dereva wa taxi New York, ambaye asili yake ni Misri, alikamatwa alipokuwa ameenda kutembelea nyumbani Misri 2013, alishutumiwa kwa madai ya upepelezi na kushiriki maandamano yanayopinga serikali. Bwana Kaseem alikuwa akikanusha madai dhidi yake. Aliacha kula chakula mwaka jana na kwa siku nne zilizopita …
Read More »Mashtaka yanayomkabili Donald Trump yatapelekwa mbele ya Bunge la Seneti
Baada ya wiki kadhaa, hatimaye Baraza la Wawakilishi linataraji kupiga kura leo Jumatano kupeleka mashtaka dhidi ya Donald Trump mbele ya Bunge la Seneti. Hii ni hatua ya mwisho kabla ya kuanza kwa kesi ya ung’atuzi dhidi ya rais huyo kutoka chama cha Republican. Spika wa Baraza la Wawakilishi linalodhibitiwa …
Read More »Marekani yaionya Iran dhidi ya kuwashambulia raia wake
Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran dhidi ya kuwauwa raia wake wanaoandamana kuipinga serikali baada ya kukiri kwamba iliidungua ndege ya abiria ya Ukraine. Haya yamejiri wakati ambapo waziri wa ulinzi wa Marekani Mark Esper amesema milango iko wazi kwa Iran kufanya mazungumzo na Marekani bila masharti yoyote. Ujumbe …
Read More »Marekani iko ‘tayari kufanya mazungumzo’ na Tehran
Katika waraka wake kwa Umoja wa Mataifa, Marekani ilijitetea kuwa ilimuua jenerali wa jeshi la Iran Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda Iran ilijibu hatua hiyo kwa kushambulia kwa makombora kambi ya majeshi ya Marekani nchini Iraq japo hakuna mtu aliyejeruhiwa. Jenerali Soleimani ilichukuliwa kuwa afisa wa pili wa ngazi …
Read More »Trump kutoa tamko dhidi ya shambulizi la iran
Kambi mbili za Jeshi la Marekani nchini Iraq zimeshambuliwa kwa makombora kadhaa huku Television ya kitaifa ya Iran ikitangaza kuwa shambulio hilo ni la kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya Qassem Soleimani aliyeuawa na Marekani katika shambulio la Drones Iraq. Rais Donald Trump amethibitisha kutokea kwa shambulio hilo katika mbi zao …
Read More »Majeshi ya Marekani yalengwa kwa makombora
Runinga ya kitaifa ya Iran imetangaza kuwa shambulio hilo ni la kulipiza kisasi mauaji ya kamanda mkuu Qasem Soleimani aliyeuawa katika shambulio la ndege isiyokuwa na rubani mjini Baghdad, kufuatia agizo la rais wa Marekani Donald Trump. Pentagon inasema kuwa karibu kambi mbili zilishambuliwa, mjini Irbil na Al Asad. Bado …
Read More »