KATIBU Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya UWASA) kwa kutekeleza kwa haraka agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kuwafikishia huduma ya majisafi wananchi wa mji mdogo wa Mbalizi Wilayani Mbeya. Ametoa …
Read More »Tag Archives: Maji
Mbinu Za Wizara Ya Maji Zimekuja Na Utatuzi Wa Huduma Ya Maji Miji Mikuu Ya Mikoa
Maji ni hitaji muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na hii inatokana na ukweli kuwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi yoyote duniani yawe ya viwanda, kilimo na kadhalika yanategemea maji. Aidha Maji ni hitaji muhimu sana katika uhai wa mwanadamu na viumbe wengine na ndio maana maji hayana mbadala na …
Read More »Wakazi wa Meatu Mkoani Simiyu walia na Ukosefu wa Maji safi baada ya Chanzo cha maji kukauka.
Na Anitha Balingilaki,Simiyu Wakazi wa mji wa Mwanhuzi wilayani Meatu mkoani Simiyu wamekumbwa na tatizo la ukosefu wa huduma ya maji safi na salama kutokana na chanzo walichokuwa wanakitegemea kukauka. Hali hiyo inatokana na wilaya hiyo kukumbwa na ukame sambamba na bwawa la Mwanyahina kujaa tope na hivyo kupelekea bwawa …
Read More »Waziri Mbarawa Afuta Mamlaka Za Maji 36
Katibu mkuu wizara ya Maji Profesa Kilila Mkumbo,amesema serikali imefuta mamlaka za maji safi na usafi wa mazingira 36 na sasa zitahudumiwa na mamlaka za makao makuu ya mikoa 25, zilizoundwa na kuongezewa majukumu ya utoaji huduma katika maeneo yake Hayo ameyasema jana jijini Dodoma wakati alipokuwa akitoa taarifa ya …
Read More »