Tume ya Taifa ya Uchaguzi- NEC imemteua Dkt.John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Tanzania kupitia CCM na Ndug.Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais wa Tanzania. Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage amewakabidhi seti za fomu na nyaraka mbalimbali.
Read More »Tag Archives: Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara za kiwango cha lami katika mji wa Serikali utakaogharimu zaidi ya bilioni 89 ikiwa ni ahadi aliyotoa mara baada ya kutangaza Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ili kutekeleza …
Read More »Aliyetangaza kuna ugonjwa wa zika nilimfukuza kazi- Rais Magufuli
“Wakati tunaingia madarakani tuliambiwa Tanzania kuna ugonjwa unaitwa Zika, aliyetangaza na aliyetumiwa kutangaza nikamfukuza kazi, bahati mbaya ni Mgogo, baada ya kumfukuza kazi siku chache akateuliwa na waliomtuma akatangaze kuna Zika akapewa Ukurugenzi”-JPM “Baada ya kumfukuza yule Mgogo aliyesema Tanzania kuna Zika na waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi, mpaka leo miaka …
Read More »Kuwakana walimu ni kuikana nafsi yangu siwezi kuwatupa- Rais Magufuli
“Siwezi kuwatupa walimu, tunajenga nyumba moja, mimi nilikuwa mwalimu, kuwakana walimu ni kuikana nafsi yangu siwezi kuwatupa, naamini hata kama uongozi huu hautochaguliwa, huo uongozi ujao pia utajenga uhusiano mzuri na Serikali”-JPM “Nilipotangaza kufunga vyuo na shule kupisha corona, kesho yake nikapigiwa simu na Rais wa CWT, akaniambia usifanye kama …
Read More »ais Magufuli Alivyoshuhudia Yanga Ikiichapa 1-0 Simba Sc Uwanja Wa Taifa Jijini Dar Es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wakiwapungia mkono wa salamu kwa Wapenzi nan a Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo wa …
Read More »Rais Magufuli: Uchaguzi ujao wa Tanzania utakuwa huru na wa haki
Rais Magufuli amesema Serikali imejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 2020 unakuwa wa amani, uhuru na haki.Amesema utakapofika uchaguzi huo, nchi na taasisi mbalimbali zitakaribishwa Tanzania kushuhudia. Ametoa kauli hiyo jana Jumanne Januari 21, 2020 alipokutana na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania katika sherehe za mwaka mpya 2020 na chakula …
Read More »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumapili Desemba 22, 2019 amejumuika pamoja na waumini wengine wa Kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita katika Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa na ametumia nafasi hiyo kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya Watanzania wote.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumapili Desemba 22, 2019 amejumuika pamoja na waumini wengine wa Kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita katika Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa …
Read More »Wenye wafungwa magerezani waaswa kuwa makini na Matapeli wanaotumia msamaha wa Rais Magufuli.
Jeshi la Magereza nchini Tanzania, limetoa tahadhari kwa wananchi ambao ndugu zao bado wanatumikia vifungo magerezani, kujiepusha na matapeli wanaotumia mwanya wa msamaha wa Rais Magufuli kwenda kuwaomba pesa ili wawasaidie ndugu zao kuachiwa huru. Kufuatia taarifa iliyotolewa leo Disemba 15, 2019, na msemaji wa Jeshi hilo Amina Kavirondo, imewataka …
Read More »Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 5,533 Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli, ametangaza kuwaachia wafungwa 5533 ambao walikuwa wamefungwa katika Magereza mbalimbali nchini. Rais Magufuli ametoa kauli hiyo wakati wa maadhimisho wa miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, ambapo kuna idadi kubwa ya wafungwa ambao wapo Magerezani kwa makosa ya …
Read More »KAHAMA:Rais Magufuli azungumzia ujenzi wa Reli itakayounganisha Tanzania na Rwanda.
Tanzania na Rwanda zinakamilisha mchakato wa ujenzi wa reli itakayounganisha mataifa hayo mawili ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Reli hiyo itakayounganishwa na ile ya kati itaanzia bandari kavu ya Isaka wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Mradi huo ambao tayari hatua ya upembuzi yakinifu umekamilika utarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka …
Read More »