Raia wa China Wang Tao (37) na Yasiri Mussa (26) Mtanzania wafanyabiashara wa Madini wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kahama kwa tuhuma ya kumiliki kiwanda cha kuchenjulia dhahabu bila kibali. Mbele ya Hakimu Makazi wa Mahakama ya Wilaya Davidi Msalilwa,Mwendesha Mashitaka wa Jeshi la Polisi Athumani Kisango alisema kuwa …
Read More »Tag Archives: Kahama
Dc Kahama awaonja wabunge na madiwani watakaoanza kampeni kabla ya muda.
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imesema itachukua hatua kali za kisheria kwa Wagombea wa nafasi za Udiwani na Ubunge ambao watabainika kuanza kampeni kabla ya muda utakaopangwa na Tume ya taifa ya Uchaguzi ili kudhibiti vitendo vya rushwa. Kauli hiyo imetolewa June 22, 2020 na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha …
Read More »Wakulima 39 Wapatiwa Ruzuku Ya Pembejeo Za Kilimo Kahama.
Katika jitihada za kuhakikisha sekta ya kilimo inakua na wakulima wananufaika, Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga imetoa ruzuku ya pembejeo bure zenye thamani ya shilingi milioni 17.9 kwa wakulima vijana 39 ambao wanalima mazao ya biashara. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji,Anderson Msumba wakati akisoma …
Read More »Shule iliyochangiwa milioni 5 na Rais Magufuli yakumbwa na uhaba wa walimu Kahama
Shule ya msingi Mayila iliyopo mtaa wa Mayila Kata ya Nyihogo katika halmashauri ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga inakabiliwa na uhaba wa walimu baada ya kuandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza 360 na wanafunzi wa darasa la awali 140. Shule hiyo ni mpya ambayo imejengwa mwaka jana ambayo pia …
Read More »Uandikishaji vitambulisho vya NIDA,yafikia asilimia 96,wilayani kahama.
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imesema imefanikiwa kuandikisha vitambulisho vya taifa (NIDA) kwa asilimia 96 ya lengo lililokusudiwa kuandikishwa wilayani humo. Akizungumzia hatua hiyo katibu tawala Wilaya ya Kahama Thimos Ndanya amesema watu waliokusudiwa kuandikishwa vitambulisho vya taifa (NIDA) ni 326,760 ambapo mpaka sasa jumla ya wananchi 313,303 wameandikishwa ambao …
Read More »Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Kuharibika kwa Mashine ya X-ray Hospitali ya wilaya ya Kahama.
Baadhi ya wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamelalamikia kitendo cha kuharibika kwa mashine ya vipimo vya Mionzi (digital, X- ray) na kusababisha kutofanya kazi katika hospitali ya halmashauri ya Mji wa Kahama. Malalamiko hayo yametolewa jana (Dec 19) katika kundi la Mtandao wa Whatsap la Kahama News ambapo baadhi ya …
Read More »Jumuiya ya kiislamu ya Al Tijarah Al Rabiha ya Oman yajenga Zahanati ya kisasa Kahama.
Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara ili kutambua maradhi yanayowasumbua na kupatiwa matibabu. Hayo yamesemwa leo na Profesa Khalfan Al-Mandhari kutoka jumuiya ya Kiislamu ya Al Tijarah Al Rabiha nchini Oman wakati wa ufunguzi wa zahanati ya Mascut iliyopo mtaa Nyakato …
Read More »