ALIYEKUWA mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kalenge, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, aliyefukuzwa shule kwa madai ya kuwa na ugonjwa ambao anaweza kuwaambukiza wanafunzi wenzake, amefaulu mtihani wa taifa wa kuhitimu kidato cha nne mwaka jana kwa daraja la pili licha ya kutoufanya. Kutokana na hali hiyo, Mkuu wa Taasisi …
Read More »Tag Archives: Kagera
Kijana amuuwa mama yake akimtetea Baba yake mngonjwa.
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamsaka kijana mmoja aitwaye Justine Joseph kwa tuhuma za kumpiga na kumuua mama yake mzazi, Theopista Joseph (72) mkazi wa kijiji cha Omukangando wilayani Kyerwa. Kijana Joseph amefanya mauaji hayo baada ya kumtuhumu mama yake kulewa kupita kiasi na kushindwa kumhudumia baba yake mzazi ambaye …
Read More »Baba amuua mwanae wa miaka miwili kwa kumchoma na moto
Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaa, mwenye umri wa miaka miwili. Daniel anadaiwa kumuuwa mwanaye huyo kwa kumchoma moto usoni na makalioni na kumjeruhi kwa kitu chenye ncha kali sehemu …
Read More »RC Kagera Aongoza Wananchi Kufanya Usafi Na Kuchangia Damu Baada ya Kuzindua Maadhimisho Ya Miaka 58 Ya Uhuru
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti amezindua rasmi maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kushiriki katika kufanya usafi katika soko kuu la Bukoba na maeneo mbalimbali pamoja na uchangiaji wa damu katika hospital ya rufaa ya …
Read More »