Spika Job Ndugai jana alisoma barua ya Katibu wa Chadema, John Mnyika, iliyotaka bunge kutomtambua Cecili Mwambe kama Mbunge na kumlipa stahiki zake. “Barua yenyewe ni fupi ngoja niwasomee, anasema Ceceli Mwambe, alikuwa mbunge wa jimbo la Ndanda aliyedhaminiwa na Chadema na Februari mwaka huu alitangaza kupitia vyombo vya habari …
Read More »Tag Archives: DODOMA
Vyama Vya Siasa Vyatakiwa Kuwa Na Ofisi Ndogo Za Makao Makuu Jijini Dodoma
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa wito kwa vyama vya siasa kufungua ofisi za makao makuu Jijini Dodoma kwa kuwa ndiyo makao makuu ya serikali. Wito huo umetolea na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, alipotembelea ofisi ndogo za makao makuu ya Chama cha Wakulima …
Read More »Kamati Ya Bunge Ya PAC Yaridhishwa Utekelezaji Maagizo Ya Ujenzi Jengo La NEC Dodoma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeridhishwa na utekelezaji wa maagizo iliyoyatoa mwezi Oktoba mwaka jana, kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ambapo iliitaka Tume hiyo kuhakikisha inasimamia ukamilishwaji wa Mradi wa ujenzi kwa wakati wa ofisi za Tume hiyo jijini, Dodoma kabla ya Uchaguzi …
Read More »Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Uapisho Wa Rais Wa Msumbiji, Filipe Nyusi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, wakati akiondoka nchini, katika uwanja wa Julius Nyerere, kuelekea Msumbiji kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi.
Read More »Mvua zinazoendelea kunyesha zaacha watu 1,000 bila makazi Dodoma
Zaidi ya watu 1,000 wamekosa makazi, baada ya nyumba 237 kubomolewa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Dodoma. Wakazi walioathirika kutokana na mvua hizo ni wa Wilaya ya Bahi, huku miundombinu ya barabara ikiharibiwa. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mwanahamisi Munkunda, alipokuwa akizungumza jana, baada ya ziara ya kukagua …
Read More »Chama Cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) mbioni kuanza kukatisha tiketi Kielectroniki
Chama cha wamiliki wa mabasi nchini (TABOA)kimesema kipo katika hatua nzuri kukamilisha zoezi la kuanza kukatisha tiketi kwa njia ya kielektroniki ili kupunguza msongamano na usumbufu kwa abiria hasa wakati wa msimu wa sikukuu. Akizungumza na Kahama fm Katibu wa TABOA Enea Mruto amesema baada ya kikao chao na mamlaka …
Read More »Ujenzi holela Dodoma wazuia msafara wa waziri Lukuvi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Tanzania, William Lukuvi amezuia ujenzi usio na vibali katika maeneo yanayozunguka mji wa Dodoma. Lukuvi ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari 11,2020 wakati akienda kwenye mkutano wa hadhara Mtaa wa Ndachi Kata ya Mnadani jijini Dodoma. Waziri amefikia hatua hiyo baada …
Read More »Serikali Kuendelea Kuboresha Idara Ya Uthibiti Ubora Wa Shule Kwa Lengo La Kupata Wahitimu Bora
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amesema serikali itaendelea kuimarisha ufuatiliaji wa elimu kwa kuboresha Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule kwa lengo la kuhakikisha Elimu inatolewa kwa kiwango ili kupata matokeo na wahitimu bora. Profesa Ndalichako amesema hayo ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma alipokuwa akitoa tathmini …
Read More »Ujenzi Wa Majengo Ya Utawala Kuongeza Tija Utoaji Huduma Tamisemi
UTAWALA bora ni nyenzo muhimu katika kuharakisha maendeleo endelevu ya nchi kwa kuzingatia misingi ya sheria, uwazi na uwajibikaji ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Ofisi ya Rais-TAMISEMI inasimamia utekelezaji wa shughuli za utawala bora kwa kuzingatia matakwa ya Ibara ya 146(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania …
Read More »Mfumo wa Malipo kwa Matokeo kuimarisha miradi ya maji vijijini
SERIKALI katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 imepanga kutumia Tsh. Bilioni 301 kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maji vijijini inayoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini, ambapo fedha za ndani ni Tsh. Bilioni 224.03 na fedha za nje ni Tsh. Bilioni 77.22. Pamoja na juhudi hizo za Serikali sekta …
Read More »