Serikali ya China imepanga kuanza utaratibu wa kuwapa wananchi wake vocha za kufanyia manunuzi mtandaoni, madukani, mahoteli, utalii na michezo kama njia ya kuongeza kasi ya ukuaji uchumi. Tayari dola bilioni 1.7 zimetengwa kwa ajili hiyo. Manunuzi katika biashara za rejareja yamepungua kwa 20.4% tangu mwaka uanze kufuatia ugonjwa wa …
Read More »Tag Archives: china
China yaionya Uingereza kwa kujitolea kuwapokea raia wa HongKong
China imeionya Uingereza kuingilia masuala ya Hong Kong baada ya taifa hilo kuapa kuwafungulia milango raia wapatao milioni tatu wa HongKong ambao wataondoka endapo sheria ya usalama wa taifa itapitishwa katika jimbo hilo. Hatua ambayo China imesema haitakuwa na matokeo chanya. Marekani na Uingereza zimekuwa zikiikosoa hatua hiyo ya China …
Read More »China inakaribisha juhudi za kutambua chanzo cha virusi vya corona
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi amesema taifa hilo liko wazi kushirikiana na jamii ya Kimataifa ili kutambua chanzo cha mripuko wa virusi vya corona lakini ametahadharisha kuwa uchunguzi ufanyike bila kuingiliwa kati kisiasa. Wangi Yi ameifokea Marekani kwa kile alichokiita juhudi za wanasiasa wa taifa hilo …
Read More »China Yasema Tuhuma na Matamshi ya Marekani Yatasababisha Vita Vipya Baridi
China imesema uhusiano baina yake na Marekani unakaribia kiwango cha enzi mpya ya vita baridi, inayochochewa na mvutano kuhusu janga la virusi vya corona, miongoni mwa mengine. Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi amesema jana kuwa Marekani imepatwa na virusi vya kisiasa vya kufanya mashambulizi mfululizo dhidi …
Read More »Watu 10 wafariki baada ya kuporomoka kwa hoteli iliyokuwa ikitumiwa kama eneo la karantini nchini China
Idadi ya watu waliofariki baada ya kuporomoka kwa hoteli moja iliyokuwa ikitumiwa kuwaweka watu chini ya karantini kutokana na virusi vya corona katika mji wa Quanzhou nchini China, imefikia watu 10. Mamlaka nchini humo zimesema watu wengine 28 bado wamekwama kutokana na ajali hiyo. Awali zaidi ya watu 70 waliaminika …
Read More »Watu 41 wamefariki Dunia kufuatia mlipuko wa Virusi vya Corona China
Ripoti mpya kutoka China zinasema Watu 41 wamefariki Dunia na wengine 1287 wakithibitika kupata madhara kufuatia mlipuko wa Virusi vya Corona China imeifunga sehemu ya ukuta wake maarufu na kusitisha safari za umma katika Miji kumi na Watu wameonekana wakiwa wamevaa mask ikiaminika inasaidia kujikinga. Tayari virusi hivyo vimesambaa ambapo …
Read More »China: Mwanafunzi aliyekula ‘wali na pilipili’ kwa miaka mitano kumuuguza ndugu yake afariki
Mwanafunzi wa China ambaye alikula wali na pilipili kwa miaka mitano ili aweze kuweka akiba ya kumwezesha kumtunza ndugu yake mgonjwa amefariki, vyombo vya habari vya China vimeeleza. Magumu yaliyokuwa yakimkabili Wu Huayan yaliishitua China baada ya picha za binti huyo, ambaye alikuwa na uzito wa karibu kilo 20, kuibuka …
Read More »