Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kanda ya Victoria inayojumuisha mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera, Zacharia Obad ametoa onyo kwa wanachama wa chama hicho waliopitishwa kugombea nafasi mbalimbali kutoleta visingizio ili wajitoe kushiriki uchaguzi Mkuu kwani kufanya hivyo ni usaliti kwa Chama. Alitoa onyo hilo wakati …
Read More »Tag Archives: chadema
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji mstaafu Francis Mutungi Aionya CHADEMA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji mstaafu Francis Mutungi amewaonya CHADEMA kutokana na alichokiita Uvunjifu wa Sheria kwa kuongeza beti la tatu kwenye wimbo wa Taifa. Mutungi ametoa onyo hilo mara baada ya jana CHADEMA wakati wakiendelea na vikao vya kupitisha jina la atakaye peperusha bendera ya Chama hicho …
Read More »CHADEMA Yatangaza Ratiba Kwa Wagombea wa Urais, Ubunge na Udiwani Kupitia Chama Hicho
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua zoezi la uchukuaji fomu za kugombea Urais wa Tanzania, ubunge na udiwani, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 Ratiba hiyo imetolewa leo Jumatatu tarehe 29 Juni 2020 na Reginald Munisi, Mkurugenzi wa Uchaguzi Chadema, wakati anazungumza na waandishi wa habari, makao makuu ya …
Read More »Msigwa, Lissu wawasilisha barua ya kutia nia ya kuwania Urais
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjinikupitia chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Peter Msigwa pamoja na Muheshimiwa Tundu Lissu wametangazwa kuwasilisha barua ya kutia niaya kuwania Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanial Kwa nyakati tofauti wamewasilisha barua hizo kwa katibu mkuu wa chama hicho ambapo Lissu anadaiwa kuongea na …
Read More »CHADEMA Yafungua Milango Kwa Wanaotaka Kugombea Urais Kupitia Chama Hicho
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ) kimefungua milango kwa wanachama wa chama hicho wanaotaka kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kujitokeza kuanzia leo Juni 3 hadi Juni 15 mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa chama hicho, …
Read More »CHADEMA Wataja Sababu Ya Freeman Mbowe Kuitwa Polisi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho Tumaini Makene, kimesema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni lilimuita Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ili kujua alikuwa anataka kuhutubia kitu gani kwa umma. Makene ameyabainisha hayo leo Mei 15, 2020, na …
Read More »CHADEMA Yateua Makatibu Wa Kanda.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Latoa Ufafanuzi Kukamatwa kwa Dereva wa Katibu Mkuu CHADEMA Na Afisa Habari
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza ACP.Muliro Jumanne amekanusha taarifa zilizokuwa zinasambaa katika mitandao ya kijamii zikieleza kuwa kuna wanachama wa chadema wametekwa jijini hapa. Muliro amesema hakuna utekaji uliotokea bali wanachama hao walikamatwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema. …
Read More »CHADEMA Wafunguka Baada Ya Sumaye Kutangaza Kukihama Chama Hicho
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kimeshtushwa na kauli za mwanachama wake ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye aliyetangaza kukihama chama hicho. Katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam uliofanyika leo, Sumaye ametangaza kujitoa Chadema huku akitoa tuhuma mbalimbali kwa mwenyekiti wa chama …
Read More »BREAKING NEWS : Sumaye aondoka Rasmi CHADEMA
Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye leo Desemba 4, 2019 ametangaza kuondoka CHADEMA. Akiongea leo kwenye mkutanao wake na waandishi wa Habari, Sumaye amesema ameamua kufanya hivyo kutokana na figisu alizofanyiwa baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa. Ameeleza kuwa alitaka kugombea nafasi ya Uenyekiti ili …
Read More »