Shirika la Ndege la Qatar limetangaza kurejesha safari za ndege nchini Tanzania kuanzia Juni 16, baada ya miezi miwili kupita tangu shirika hilo lilipotangaza kusimamisha safari kutokana na janga la COVID-19.

Shirika la Ndege la Qatar limetangaza kurejesha safari za ndege nchini Tanzania kuanzia Juni 16, baada ya miezi miwili kupita tangu shirika hilo lilipotangaza kusimamisha safari kutokana na janga la COVID-19.
Tags Qatar