KATIKA toleo la Gazeti la Spoti Xtra Alhamisi iliyopita, Marioo alianza kuelezea historia ya maisha pamoja na kazi yake ya muziki ilivyoanza. Marioo ambaye jina lake kamili ni Omary Ally Mwanga ni miongoni mwa wasanii chipukizi ambaye kwa sasa analiteka soko la Muziki wa Bongo Fleva. Nikukumbushe tu kuwa, Marioo …
Read More »