WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea vyumba 11 vya madarasa, ofisi mbili za walimu, samani na chumba maalumu cha wasichana vilivyojengwa na Benki ya TPB PLC katika shule ya msingi Nandagala wilayani Ruangwa, Lindi kwa gharama ya shilingi milioni 164.902. Amepokea mradi huo wa ujenzi na ukarabati wa vyumba vya madarasa …
Read More »HABARI MPYA
Mwandishi alieripoti mlipuko wa corona China ahukumiwa Jela Miaka Minne
Mwandishi wa habari Zhang Zhan amehukumiwa kifungo cha miaka minne kwa kuripoti mlipuko wa kwanza wa virusi vya Corona katika mji wa Wuhan. Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya Shanghai. Mahakama ya Shanghai imechukua uamuzi kifungo cha miaka minee dhidi ya mwandishi wa habari Zhang Zhan baada ya kuangazia mlipuko …
Read More »Polisi Wanasa Watuhumiwa 683 Mkoani Tabora Wa Makosa Mbalimbali Ndani Ya Wiki Tatu
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 683 wa makosa mbalimbali Mkoani Tabora katika Oporesheni ilichukua wiki tatu katika Wilaya zote za Mkoa huo. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Opereshemi Maalumu za Jeshi la Polisi Tanzania Kamishina Mwandamizi wa Jeshi wa Polisi (SACP) Mihayo Msikhela wakati akizungumza na …
Read More »MAGAZETI: Habari zilizopo leo Dec 28.
Wanyonge Ni Lazima Walindwe Na Sheria- Mwigulu Nchemba
Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli imejipambanua kuwalinda wanyonge hivyo anapojitokeza mtu yeyote kutaka kuwaumiza ni lazima ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ametoa …
Read More »Waziri Jafo atangaza waliochaguliwa kidato cha kwanza 2021
Jumla ya wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunzi waliofaulu wakiwemo wavulana 368,174 na wasichana 391,532 wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza mwaka 2021. Kauli hiyo imebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo wakati akitoa …
Read More »KAHAMA:Basi la Frester Lasababisha kifo cha mtoto mmoja na kujeruhi wengine 23.
Mtoto mmoja ambaye hajafahamika jina wala Makazi mwenye umri unaokadiriwa kuwa ni miaka 7 amefariki dunia na wengeine 23 kujeruhiwa katika ajali ya basi Kampuni ya Frester linalofanya safari kati ya Kahama – Musoma lenye namba za usajili namba T 965 DST lililokuwa likiendeshwa na dereva ambaye hajafahamika jina mara …
Read More »Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano Dkt Chaula Aratibu Mkakati Wa Kuipeleka Jamii Ya Tanzania Kidijitali
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WMTH), Dkt. Zainab Chaula ameratibu mpango mkakati wa pamoja wa kuipeleka jamii ya kitanzania katika mfumo wa dijitali kwa kuanza na Sekta ya Elimu na Sekta ya Afya ambazo zinaigusa jamii moja kwa moja. Dkt Chaula ameendesha kikao cha kamati …
Read More »Dkt. Mpango Acharuka: Aagiza Watumishi 22 TRA Wasimamishwe Kazi
WAZIRI wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, amemwagiza Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA, Dkt. Edwin Mhede kuwasimamisha kazi watumishi 22 wa Mamlaka hiyo wakiwemo baadhi ya Maneja wa TRA wa Mikoa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili za kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kujihusha …
Read More »Wataalamu wa Marekani waidhinisha matumizi ya chanjo ya COVID-19
Jopo la waatalamu nchini Marekani limeidhinisha matumizi ya dharura ya chanjo ya virusi vya corana iliyotengenezwa na kampuni za Pfizer na BioNTech uamuzi unaoruhusu kuanza kutolewa kwa chanjo hiyo kwa umma wa Marekani. Wataalamu 17 kati ya 22 walioteuliwa na mamlaka ya dawa na chakula ya Marekani walipiga kura za …
Read More »