Balozi wa Uturuki nchini Ufaransa Ismail Hakki asema kwamba Uturuki na Ufaransa ni mataifa washirika na rafiki na kusema kuwa lawama dhidi ya Uturuki ni kosa ambalo linaweza kutajwa kama kosa la kukusudia.
Balozi Ismail amesema kuwa huwa ikitokea kuwa na tofauti katika mitazamo kati ya Uturuki na Ufaransa.
Katika mahojiano hayo Ismail Hakki amesema kwamba lawama dhidi ya Uturuki hazina mashiko.
Balozi Hakki amekiri kwamba huwa kukitokea tofauti katika mitazamo kati ya Uturuki na Ufaransa licha ya kuwa ni mataifa washirika.
Balozi huyo amezungumza pia kuhusu umuhimu wa gesi asilia kugunduliwa katika ukanda wa Bahari Nyeusi na hakuna uhasama kutoka Uturuki dhidi ya taifa lolote lile.
Ismail Hakki amezungumza pia kuhusu hali iliopo Mediterania Mashariki.
Ugiriki imeomba kuwa na udhibiti wa eneo kubwa katika bahari ya Mediterania jambo ambalo Uturuki ikiridhia italazimika kuomba ruhusa ya kuingia katika eneo lake la majini Ugiriki.